New Mexico

New Mexiko (Meksiko Mpya) ni jimbo la kujitawala la Maungano ya Madola ya Amerika au Marekani. Iko katika kusini ya Marekani bara. Imepakana na Texas, Oklahoma, Colorado, Arizona na nchi ya Meksiko.

ramani ya new mexico








New Mexico

Bendera

Nembo
NchiBendera ya Marekani Marekani
Mji mkuuAlbuquerque
Eneo
 - Jumla314,915 km²
 - Kavu314,309 km² 
 - Maji606 km² 
Tovuti:  http://www.newmexico.gov/

Mji mkuu wa jimbo ni Santa Fe. Mji mkubwa ni Albuquerque. Idadi ya wakazi wa jombo lote hufikia watu 1,819,046 wanaokalia eneo la 315,194 km² ambalo ni hasa milima na jangwa.

Viungo vya Nje hariri



Wikimedia Commons ina media kuhusu:


Majimbo ya Marekani

AlabamaAlaskaArizonaArkansasCaliforniaColoradoConnecticutDelawareFloridaGeorgiaHawaiiIdahoIllinoisIndianaIowaKansasKentuckyLouisianaMaineMarylandMassachusettsMichiganMinnesotaMississippiMissouriMontanaNebraskaNevadaNew HampshireNew JerseyNew MexicoNew YorkNorth CarolinaNorth DakotaOhioOklahomaOregonPennsylvaniaRhode IslandSouth CarolinaSouth DakotaTennesseeTexasUtahVermontVirginiaWashingtonWest VirginiaWisconsinWyoming

Makala hii kuhusu maeneo ya Marekani bado ni mbegu.
Je unajua kitu kuhusu New Mexico kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni?
Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.