Asia ya Kati
Asia ya Kati ni eneo kubwa katikati ya bara la Asia. Kuna maelezo yanayotofautiana kati yao kuhusu eneo lenyewe.
Nchi zilizokuwa jamhuri za Umoja wa Kisovyeti hariri
Mara nyingi nchi zifuatazo huhesabiwa humo:
Zote zilikuwa jamhuri za Umoja wa Kisovyeti.
Elezo la UNESCO hariri
UNESCO imeongeza pamoja na nchi tano hizo nchi zifuatazo:
Turkestan hariri
Kihistoria eneo hili limeitwa mara nyingi kwa jina "Turkestan" kwa sababu ilikaliwa au inakaliwa hadi leo na watu wanaotumia lugha za Kiturki.
Makala hii kuhusu maeneo ya Asia bado ni mbegu. Je unajua kitu kuhusu Asia ya Kati kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni? Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. |
🔥 Top keywords: Maalum:TafutaMwanzoMuungano wa Tanganyika na ZanzibarShukuru KawambwaFasihi simuliziShairiNembo ya TanzaniaAina za manenoMofimuVivumishiOrodha ya mikoa ya Tanzania kwa eneoUfahamu wa uwezo wa kushika mimbaTarakilishiKamusi za KiswahiliOrodha ya Mawaziri Wakuu wa TanzaniaTanzaniaMikoa ya TanzaniaKitenziJamii:Wilaya za Mkoa wa Dar es SalaamApril JacksonSilabiJumuiya ya Afrika MasharikiSentensiJamii:Wilaya za Mkoa wa ArushaVieleziOrodha ya makabila ya TanzaniaFasihiKumaChristopher MtikilaHalmashauriMshororoKigezo:Kata za Wilaya ya IlalaMaudhuiViwakilishiVitendawiliKiswahiliNominoFasihi andishiMfumo wa mmeng'enyo wa chakula