Wakarmeli Peku
Wakarmeli Peku (kwa Kilatini Ordo Fratrum Discalceatorum B. Mariae V. de Monte Carmelo, kifupi O.C.D.) ni watawa wa Kanisa Katoliki wanaofuata urekebisho wa shirika la Wakarmeli ulioanzishwa na Teresa wa Yesu katika karne ya 16 huko Hispania. Upande wa wanaume alisaidiwa na Yohane wa Msalaba.
![](http://upload.wikimedia.org/wikipedia/commons/1/1d/Escocd.gif)
Mbali ya waanzilishi hao wawili, shirika lilizaa mwalimu wa Kanisa mwingine, Teresa wa Mtoto Yesu katika karne ya 19.
Kwa jumla hao watatu wanatazamwa kuwa viongozi bora kuhusu kuzama katika sala na maisha ya kiroho kwa jumla.
Pia shirika lilizaa watakatifu na wenye heri wengi.
Mwishoni mwa mwaka 2005 shirika lilikuwa na nyumba 572 zenye watawa 4067, (kati yao mapadri 2655).[1]
Picha
hariri- Wakarmeli Peku walivyochorwa na Wenzel Hollar, mwaka 1650 hivi.
- Benedict Buns, mwaka 1716 hivi.
- Nembo ya shirika katika Manuscrito de Sanlúcar ya Yohane wa Msalaba.
Tanbihi
hariri- ↑ Annuario Pontificio per l'anno 2007, Città del Vaticano, 2007, p. 1467
Viungo vya nje
hariri- Carmelite Vocation Archived 17 Desemba 2007 at the Wayback Machine.
- Discalced Carmelite Order
- "Sayings of Light and Love" - Spiritual Maxims of John of the Cross Archived 22 Septemba 2008 at the Wayback Machine.
- St. Therese of Lisieux, Discalced Carmelite and Doctor of the Church - her life, writings, spirituality, and mission Archived 7 Oktoba 2020 at the Wayback Machine.
- Discalced Carmelite Calendar and Saints
- Hermits of Our Lady of Mt. Carmel Archived 16 Julai 2011 at the Wayback Machine.
- Carmelite Hermits of the Trinity
- Institute of Carmelite Studies Publications
- Meditations from Carmel
- Archbishop Daniel Acharuparambil Passed Away Archived 8 Julai 2011 at the Wayback Machine.
🔥 Top keywords: Maalum:TafutaMwanzoLucy KombaUfahamu wa uwezo wa kushika mimbaSiku ya ArafahSiku ya Mtoto wa AfrikaKanisa la Kiinjili la Kilutheri TanzaniaOrodha ya mikoa ya Tanzania kwa eneoMikoa ya TanzaniaMaalum:MabadalikoyaKaribuniLuhaga Joelson MpinaKumaDiamond PlatnumzTanzaniaOrodha ya makabila ya TanzaniaKamusi za KiswahiliSimba S.C.Orodha ya Watakatifu WakristoNikki wa PiliKalenda ya KiislamuMaumivu ya kiunoMbooShairiNembo ya TanzaniaAmri KumiVita Kuu ya Pili ya DuniaTendo la ndoaIdara ya Usalama wa Taifa (Tanzania)Orodha ya mikoa ya Tanzania na Pato la TaifaJohn MagufuliHistoria ya KanisaMofimuIdd el HajjOrodha ya Mawaziri Wakuu wa TanzaniaOrodha ya miji ya kale ya WaswahiliMapenzi ya jinsia mojaOrodha ya Marais wa TanzaniaFasihi simuliziOrodha ya Marais wa Zanzibar