Malaika Rafaeli
Malaika Rafaeli (kwa Kiebrania רָפָאֵל, Rāfāʾēl, "Mungu anaponya" au "Mungu, ponya!") ni malaika anayetajwa na Kitabu cha Tobiti katika Deuterokanoni. Kwa hiyo anaheshimiwa na madhehebu yanayokubali kitabu hicho kama sehemu ya Biblia.
Katika Uislamu ni sawa na malaika Israfili.
Sikukuu yake huadhimishwa tarehe 29 Septemba[1][2]
Tazama pia hariri
Tanbihi hariri
- ↑ Martyrologium Romanum
- ↑ Sikukuu ya Kianglikana huitwa “Michael na Malaika Wote” (kwa Kiingereza Michael and All Angels).
Viungo vya nje hariri
Makala hii kuhusu mambo ya dini bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu mada hii kama historia yake au uenezi wake? Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. |
🔥 Top keywords: Maalum:TafutaMwanzoUfahamu wa uwezo wa kushika mimbaMikoa ya TanzaniaOrodha ya mikoa ya Tanzania kwa eneoKumaLigi ya Mabingwa UlayaNahauTanzaniaDiamond PlatnumzKamusi za KiswahiliUwanja wa WembleyOrodha ya makabila ya TanzaniaVirusi vya CoronaMaumivu ya kiunoKiswahiliAmri KumiSimba S.C.Orodha ya Watakatifu WakristoOrodha ya Vyuo Vikuu vya TanzaniaUtandawaziOrodha ya mikoa ya Tanzania na Pato la TaifaYoung Africans S.C.Nembo ya TanzaniaOrodha ya milima mirefu dunianiMpira wa miguuStephane Aziz KiFasihi simuliziVita Kuu ya Pili ya DuniaMapenzi ya jinsia mojaMisemoShairiHistoria ya KanisaHifadhi ya mazingiraMaalum:MabadalikoyaKaribuniAina za manenoZuchuEverest (mlima)Lugha