Wikimedia Commons
Wikimedia Commons (pia huitwa "Wikicommons") ni hazina ya kuhifadhia na kutumia faili za picha, za sauti na nyinginezo.
Utumiaji wa faili hizo ni huru kwa wikipedia za lugha zote; tena si lazima kuzipakia kwenye wikipedia mojamoja kwa vile zinapatikana kutoka wikipedia zote.
Wikimedia Commons ni mradi wa Wikimedia Foundation.
Picha Bora Katika Mradi Wa Wikimedia Commons hariri
Wikimedia Commons ina media kuhusu:
Makala bado ni mbegu. Unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuongezea habari. |
🔥 Top keywords: Maalum:TafutaMwanzoMuungano wa Tanganyika na ZanzibarShukuru KawambwaFasihi simuliziShairiNembo ya TanzaniaAina za manenoMofimuVivumishiOrodha ya mikoa ya Tanzania kwa eneoUfahamu wa uwezo wa kushika mimbaTarakilishiKamusi za KiswahiliOrodha ya Mawaziri Wakuu wa TanzaniaTanzaniaMikoa ya TanzaniaKitenziJamii:Wilaya za Mkoa wa Dar es SalaamApril JacksonSilabiJumuiya ya Afrika MasharikiSentensiJamii:Wilaya za Mkoa wa ArushaVieleziOrodha ya makabila ya TanzaniaFasihiKumaChristopher MtikilaHalmashauriMshororoKigezo:Kata za Wilaya ya IlalaMaudhuiViwakilishiVitendawiliKiswahiliNominoFasihi andishiMfumo wa mmeng'enyo wa chakula