Waraka wa pili wa Yohane
Waraka wa pili wa Yohane ni kitabu kifupi kuliko vyote 27 vya Agano Jipya katika Biblia ya Kikristo.
Kama vitabu vingine vyote vya Biblia, hiki pia kinatakiwa kisomwe katika mfululizo wa historia ya wokovu ili kukielewa kadiri ya maendeleo ya ufunuo wa Mungu kwa binadamu.
Mwandishi hariri
Kuanzia karne ya 5 mapokeo yamemtaja Mtume Yohane kuwa mwandishi wa barua hii, kwa sababu yaliyomo, misamiati na mtindo wa mawazo vinalingana na vile vya Waraka wa kwanza wa Yohane. Lakini barua yenyewe inamtaja tu "mzee" kuwa mwandishi wake.
Mahali na muda wa uandishi hariri
Sawa na maandishi mengine ya jumuia za Yohane, barua hiyo inafikiriwa kuandikwa mwishoni mwa karne ya 1 huko Efeso ili kuangalisha dhidi ya wazushi. Katika barua hii linaonekana kwa mara ya kwanza jina la "Mpingakristo".
Walengwa hariri
Marejeo hariri
- Robert Dabney, "The Doctrinal Various Readings of the New Testament Greek", 1894: p. 32.
Kiungo cha nje hariri
- [1] Agano Jipya kwa lugha ya Kiswahili
Makala hii kuhusu mambo ya Agano Jipya bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Waraka wa pili wa Yohane kama historia yake au mahusiano yake na mada nyingine? Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. |
🔥 Top keywords: Maalum:TafutaMwanzoKimbungaUfahamu wa uwezo wa kushika mimbaFasihi simuliziAina za manenoNembo ya TanzaniaShairiOrodha ya mikoa ya Tanzania kwa eneoOrodha ya Mawaziri Wakuu wa TanzaniaVivumishiMikoa ya TanzaniaTanzaniaMfumo wa mmeng'enyo wa chakulaKamusi za KiswahiliJumuiya ya Afrika MasharikiOrodha ya makabila ya TanzaniaKumaKiswahiliSimba S.C.Diamond PlatnumzKamusiMofimuKamusi ya Kiswahili sanifuTufaniTanganyikaMaumivu ya kiunoNominoLughaMwenge wa UhuruChristina ShushoSentensiSilabiVieleziMapenziMshororoVitendawiliOrodha ya Marais wa UgandaMafuriko