Bahama

(Elekezwa kutoka Visiwa vya Bahamas)

Bahama au Visiwa vya Bahama ni nchi ya visiwani katika bahari ya Atlantiki, kaskazini kwa Kuba na mashariki kwa Florida (Marekani).

Commonwealth of the Bahamas
Jumuiya ya Bahamas
Bendera ya BahamasNembo ya Bahamas
BenderaNembo
Kaulimbiu ya taifa: Forward Upward Onward Together
Wimbo wa taifa: March On, Bahamaland
Wimbo wa Kifalme: God Save the Queen
Lokeshen ya Bahamas
Mji mkuuNassau
loop_type:country(13,878) 25°4′ N 77°20′ W loop
Mji mkubwa nchiniNassau
Lugha rasmiKiingerza
Serikali Commonwealth
Charles III wa Uingereza
Cornelius A. Smith
Philip Davis
Independence
kutoka Uingereza

10 Julai 1973
Eneo
 - Jumla
 - Maji (%)
 
13,878 km² (ya 160)
28%
Idadi ya watu
 - 2022 kadirio
 - 2018 sensa
 - Msongamano wa watu
 
400,5161 (ya 177)
385,637
25.21/km² (ya 181)
FedhaBahamas dollar (BSD)
Saa za eneo
 - Kiangazi (DST)
EST (UTC−5)
EDT (UTC−4)
Intaneti TLD.bs
Kodi ya simu+1-242

-


Ramani ya Bahamas

Visiwa hivyo 700 na zaidi viko nje ya Bahari ya Karibi lakini mara nyingi huhesabiwa kati ya Visiwa vya Karibi. Visiwa vingine vya funguvisiwa hilo viko chini ya Uingereza hata leo (Turks na Caicos).

Mji mkuu wa Nassau uko kwenye kisiwa cha New Providence.

Inaaminiwa ya kwamba mahali pa kwanza pa Amerika alipofika Kristoforo Kolumbus kilikuwa kisiwa kimoja cha Bahamas, labda San Salvador.

Wakazi walio wengi (90.6%) wana asili ya Afrika lakini wanatumia lugha ya Kiingereza. Wazungu ni 4.7%.

Upande wa dini, unaongoza Ukristo wa madhehebu mbalimbali (93%), kuanzia Wabaptisti (35%), Waanglikana (15%), Wakatoliki (14.5%), Wapentekoste (13%), Wasabato (5%), Wamethodisti (4%) n.k.

Tazama pia

hariri

Viungo vya Nje

hariri
Makala hii kuhusu maeneo ya Bahari ya Karibi bado ni mbegu.
Je unajua kitu kuhusu Bahama kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni?
Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.