Rasi Agulhas
Rasi Agulhas (ing. Cape Agulhas) ni mahali pa kusini zaidi pa bara la Afrika. Iko karibu na mji wa Agulhas katika Afrika Kusini. Iko karibu pia na Rasi ya Tumaini Jema iliyo maarufu zaidi.
Ni mpaka kati ya maji za Atlantiki na Bahari Hindi na mstari unaoelekea kusini kutoka hapa umekubaliwa na Shirika la Kimataifa la Hidrografia kuwa mpaka kati ya bahari hizi mbili.
Viungo vya Nje hariri
- Agulhas National Park Archived 27 Januari 2011 at the Wayback Machine.
- Cape Agulhas
- Travel to Cape Agulhas
🔥 Top keywords: Maalum:TafutaMwanzoUfahamu wa uwezo wa kushika mimbaMikoa ya TanzaniaOrodha ya mikoa ya Tanzania kwa eneoKumaShairiMawasilianoEverest (mlima)Kamusi za KiswahiliOrodha ya Vyuo Vikuu vya TanzaniaTanzaniaDiamond PlatnumzOrodha ya Watakatifu WakristoOrodha ya milima mirefu dunianiYoung Africans S.C.UtandawaziMaumivu ya kiunoWilaya za TanzaniaMapenziOrodha ya makabila ya TanzaniaFasihi simuliziUandishi wa ripotiVivumishiNahauOrodha ya mikoa ya Tanzania na Pato la TaifaAfrikaSimba S.C.Hassan MwakinyoAina za manenoMaalum:MabadalikoyaKaribuniNembo ya TanzaniaJohn MagufuliHistoria ya KanisaUzazi wa mpango kwa njia asiliaJumuiya ya Afrika MasharikiLughaUtatuWikipedia:Msaada wa kuanzisha makala