Papa Siricius
Papa Siricius alikuwa Papa kuanzia tarehe 15 au 22 au 29 Desemba 384 hadi kifo chake tarehe 26 Novemba 399[1]. Alitokea Roma, Italia na baba yake aliiitwa Tiburtius.
Alimfuata Papa Damaso I[2] akafuatwa na Papa Anastasius I.
Alikuwa mtendaji na kukabili masuala mbalimbali. Amri zake 15 (hati Directa) kuhusu maisha ya Kanisa ni za kwanza kutufikia nzima bila kasoro.
Tangu kale anaheshimiwa kama mtakatifu.
Tazama pia hariri
Maandishi yake hariri
Tanbihi hariri
- ↑ https://www.vatican.va/content/vatican/en/holy-father.index.html#holy-father
- ↑ ""The 38th Pope", Spirituality for Today, Diocese of Bridgeport". Ilihifadhiwa kwenye nyaraka kutoka chanzo mnamo 2017-09-30. Iliwekwa mnamo 2022-04-10.
- ↑ Martyrologium Romanum: ex Decreto Sacrosancti oecumenici Concilii Vaticani II instauratum auctoritate Ioannis Pauli P.P. II promulgatum, Romae 2001, ISBN 8820972107
Viungo vya nje hariri
Wikimedia Commons ina media kuhusu:
Makala hii kuhusu Papa fulani bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Papa Siricius kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake? Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari. |
🔥 Top keywords: Maalum:TafutaMwanzoUfahamu wa uwezo wa kushika mimbaZuhura YunusMaalum:MabadalikoyaKaribuniMizimuOrodha ya mikoa ya Tanzania kwa eneoMikoa ya TanzaniaShairiTanzaniaOrodha ya Vyuo Vikuu vya TanzaniaOrodha ya makabila ya TanzaniaOrodha ya Mawaziri Wakuu wa TanzaniaAina za manenoKamusi za KiswahiliMaumivu ya kiunoOrodha ya Watakatifu WakristoVivumishiVita Kuu ya Pili ya DuniaAmri KumiFasihi simuliziMohammed Gulam DewjiKumaNikki wa PiliDiamond PlatnumzNembo ya TanzaniaKiswahiliYoung Africans S.C.Uzazi wa mpango kwa njia asiliaMbooMfumo wa mmeng'enyo wa chakulaUandishi wa ripotiSimba S.C.Historia ya KanisaTendo la ndoaShinikizo la juu la damuJohn MagufuliWilaya za TanzaniaNahau