Mkoa wa Erzurum
Erzurum ni jina la mkoa uliopo mjini Mashariki mwa kanda ya Anatolia huko nchini Uturuki. Umepakana na baadhi ya mikoa kama vile Kars na Ağrı kwa upande wa mashariki, Muş na Bingöl kwa upande wa kusini, Erzincan na Bayburt kwa upande wa magharibi, Rize na Artvin kwa upande wa kaskazini na Ardahan kwa upande wa kaskazini-mashariki mwa nchi. Mji mkuu wake ni Erzurum.
Mkoa wa Erzurum | |
---|---|
Maeneo ya Mkoa wa Erzurum nchini Uturuki | |
Maelezo | |
Kanda: | Kanda ya Anatolia ya Mashariki |
Eneo: | 25,066 (km²) |
Idadi ya Wakazi | 958,875 TUIK 2007 (est) |
Kodi ya Leseni: | 25 |
Kodi ya eneo: | 0442 |
Tovuti ya Gavana | http://www.erzurum.gov.tr |
Utabiri wa hali ya hewa | turkeyforecast.com/weather/erzurum |
Wilaya za mkoani hap hariri
Mkoa wa Erzurum umegawanyika katika wilaya 19 (mji mkuu umekoozeshwa):
Viungo vya Nje hariri
- (Kituruki) Official Website of the Municipality Archived 6 Julai 2006 at the Wayback Machine.
- (Kituruki) Chamber of Commerce
- (Kiingereza) Armenian History and Presence in Erzurum
Makala hii kuhusu maeneo ya Uturuki bado ni mbegu. Je unajua kitu kuhusu Mkoa wa Erzurum kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni? Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. |
🔥 Top keywords: Maalum:TafutaMwanzoUfahamu wa uwezo wa kushika mimbaMikoa ya TanzaniaOrodha ya mikoa ya Tanzania kwa eneoKumaShairiMawasilianoEverest (mlima)Kamusi za KiswahiliOrodha ya Vyuo Vikuu vya TanzaniaTanzaniaDiamond PlatnumzOrodha ya Watakatifu WakristoOrodha ya milima mirefu dunianiYoung Africans S.C.UtandawaziMaumivu ya kiunoWilaya za TanzaniaMapenziOrodha ya makabila ya TanzaniaFasihi simuliziUandishi wa ripotiVivumishiNahauOrodha ya mikoa ya Tanzania na Pato la TaifaAfrikaSimba S.C.Hassan MwakinyoAina za manenoMaalum:MabadalikoyaKaribuniNembo ya TanzaniaJohn MagufuliHistoria ya KanisaUzazi wa mpango kwa njia asiliaJumuiya ya Afrika MasharikiLughaUtatuWikipedia:Msaada wa kuanzisha makala