Masis
Masis (Kirmenia: Մասիս) zamani uliutwa Narimanlu, Zangibasar, Ulukhanlu, Razdan, na Hrazdan) ni mji uliopo kwenye Mkoa wa Ararat. Upo upande wa kushoto mwa ukingo wa Mto Hrazdan , takriban kilomita 14 kutoka kusini mwa mji wa Yerevan. Idadi ya wakazi wa hapa wamefikia kiasi cha watu 21,376 (kwa mujibu wa sensa ya mwaka wa 2001).
Tazama pia hariri
Marejeo hariri
- Masis kwenye GEOnet Names Server
- Kiesling, Rediscoving Armenia, p. 25, available online at the US embassy to Armenia's website Archived 26 Juni 2008 at the Wayback Machine.
- World Gazeteer: Armenia[dead link] – World-Gazetteer.com
- Taarifa ya matokeo ya sensa ya wakazi kwa 2001 nchini Armenia
Makala hii kuhusu maeneo ya Armenia bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Masis kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni? Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. |
🔥 Top keywords: Maalum:TafutaMwanzoMuungano wa Tanganyika na ZanzibarShukuru KawambwaFasihi simuliziShairiNembo ya TanzaniaAina za manenoMofimuVivumishiOrodha ya mikoa ya Tanzania kwa eneoUfahamu wa uwezo wa kushika mimbaTarakilishiKamusi za KiswahiliOrodha ya Mawaziri Wakuu wa TanzaniaTanzaniaMikoa ya TanzaniaKitenziJamii:Wilaya za Mkoa wa Dar es SalaamApril JacksonSilabiJumuiya ya Afrika MasharikiSentensiJamii:Wilaya za Mkoa wa ArushaVieleziOrodha ya makabila ya TanzaniaFasihiKumaChristopher MtikilaHalmashauriMshororoKigezo:Kata za Wilaya ya IlalaMaudhuiViwakilishiVitendawiliKiswahiliNominoFasihi andishiMfumo wa mmeng'enyo wa chakula