Malai
(Elekezwa kutoka Krimu)
Malai (pia krimu kutoka Kiingereza: cream), ni mafuta yanayopatikana kiasili katika maziwa ya wanyama. Baada ya kukamua maziwa, malai hukusanyika kwenye uso wa maziwa kama utandu. Utandu huo hutolewa na kukusanywa.
Malai hutumiwa kutengeneza samli, siagi na jibini. Pia katika upishi na kutengeneza vyakula mbalimbali kama aisikrimu.
🔥 Top keywords: Maalum:TafutaMwanzoPentekosteUfahamu wa uwezo wa kushika mimbaRoho MtakatifuVipaji vya Roho MtakatifuOrodha ya mikoa ya Tanzania kwa eneoMikoa ya TanzaniaShinikizo la juu la damuNembo ya TanzaniaOrodha ya makabila ya TanzaniaTanzaniaAina za manenoJumuiya ya Afrika MasharikiKamusi za KiswahiliShairiTendo la ndoaKumaOrodha ya Watakatifu WakristoMafurikoMaumivu ya kiunoDiamond PlatnumzVivumishiMapenziAmri KumiHistoria ya KanisaOrodha ya nchi za AfrikaOrodha ya Mawaziri Wakuu wa TanzaniaMfumo wa mmeng'enyo wa chakulaMapenzi ya jinsia mojaMisemoMpira wa miguuMshororoUzazi wa mpango kwa njia asiliaVita Kuu ya Pili ya DuniaTanganyikaMbooMaalum:MabadalikoyaKaribuniVirusi vya Corona