GEOnet Names Server
GEOnet Names Server ni seva katika intaneti inayounganisha mkusanyiko wa data kutoka taasisi ya National Geospatial-Intelligence Agency ya jeshi la Marekani na taasisi nyingine ya serikali ya Marekani inayoitwa United States Board on Geographic Names. Data hizi huwa na majina ya mahali milioni sita kote duniani[1].
Data zinapatikana kwa mtu yeyote zinasaidia kutafuta mahali kwenye ramani ya Dunia kwa umakini wa wastani; data za kijeshi zimefupishwa kwa dakika za tao.
Tanbihi hariri
Viungo vya Nje hariri
🔥 Top keywords: Maalum:TafutaMwanzoUfahamu wa uwezo wa kushika mimbaMikoa ya TanzaniaOrodha ya mikoa ya Tanzania kwa eneoKumaShairiMawasilianoEverest (mlima)Kamusi za KiswahiliOrodha ya Vyuo Vikuu vya TanzaniaTanzaniaDiamond PlatnumzOrodha ya Watakatifu WakristoOrodha ya milima mirefu dunianiYoung Africans S.C.UtandawaziMaumivu ya kiunoWilaya za TanzaniaMapenziOrodha ya makabila ya TanzaniaFasihi simuliziUandishi wa ripotiVivumishiNahauOrodha ya mikoa ya Tanzania na Pato la TaifaAfrikaSimba S.C.Hassan MwakinyoAina za manenoMaalum:MabadalikoyaKaribuniNembo ya TanzaniaJohn MagufuliHistoria ya KanisaUzazi wa mpango kwa njia asiliaJumuiya ya Afrika MasharikiLughaUtatuWikipedia:Msaada wa kuanzisha makala