Aziz El Amri

Aziz El Amri (alizaliwa tarehe 1 Januari 1950) ni kocha wa soka na mchezaji wa zamani wa Moroko.

El Amri alikuwa kocha wa klabu ya Moghreb Tétouan hadi alipojiuzulu mwezi Desemba 2014.[1]

Marejeo

hariri
  1. "Aziz el Amri resigns as coach of Moghreb Tetouan". BBC Sport. 13 Desemba 2014. Iliwekwa mnamo 14 Desemba 2014.{{cite web}}: CS1 maint: date auto-translated (link)
Makala hii kuhusu mchezaji mpira fulani bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Aziz El Amri kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.