Alama
ishara, ilani, ishara za barabara, ishara, picha, n.k.
Alama (kwa Kiingereza "sign"[1]) ni kitu, mchoro, maandishi, kifaa ambacho hutambulisha kitu kingine, tukio, sehemu n.k.
Baadhi yake ni asili, kwa mfano radi ya umeme na dalili za ugonjwa.[2]
Baadhi zimetungwa na binadamu, kwa mfano vituo katika maandishi na vitendo vya mikono wakati wa kuongea.[3]
Marejeo hariri
- ↑ New Oxford American Dictionary
- ↑ "Roderick M. Chisholm "Sextus Empiricus and Modern Empiricism" Philosophy of Science, Jul., 1941, Vol. 8, No. 3 pp. 371-372". JSTOR 184308.
- ↑ Woo, B. Hoon (2013). "Augustine's Hermeneutics and Homiletics in De doctrina christiana". Journal of Christian Philosophy 17: 103–106.
- ↑ "Roderick M. Chisholm "Sextus Empiricus and Modern Empiricism" Philosophy of Science, Jul., 1941, Vol. 8, No. 3 pp. 371-372". JSTOR 184308.
Tanbihi hariri
Makala bado ni mbegu. Unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuongezea habari. |
🔥 Top keywords: Maalum:TafutaMwanzoLeonard MbotelaUfahamu wa uwezo wa kushika mimbaKimbungaOrodha ya mikoa ya Tanzania kwa eneoMikoa ya TanzaniaOrodha ya makabila ya TanzaniaTanzaniaKumaNembo ya TanzaniaShairiMustafa MkuloAmri KumiFasihi simuliziKiswahiliAina za manenoVita Kuu ya Pili ya DuniaMtaalaMaalum:MabadalikoyaKaribuniMaumivu ya kiunoKamusi za KiswahiliOrodha ya Mawaziri Wakuu wa TanzaniaVitendawiliOrodha ya Watakatifu WakristoUpendoChristina ShushoMafurikoHistoria ya KanisaDiamond PlatnumzJumuiya ya Afrika MasharikiOrodha ya nchi za AfrikaKamusi ya Kiswahili sanifuKinembe (anatomia)KisaweLughaFasihiTendo la ndoaKamusi