1990
mwaka
Lango la Historia | Lango la Biografia | Karibuni | Orodha ya Miaka
◄ |Karne ya 19 |Karne ya 20| Karne ya 21
◄ |Miaka ya 1960 |Miaka ya 1970 |Miaka ya 1980 |Miaka ya 1990| Miaka ya 2000| Miaka ya 2010
◄◄ |◄ |1986 |1987 |1988 |1989 |1990| 1991| 1992| 1993| 1994| ►| ►►
Makala hii inahusu mwaka 1990 BK (Baada ya Kristo).
Matukio hariri
- 2 Februari - Rais F. W. de Klerk wa Afrika Kusini anatangaza ya kuwa ANC si marufuku tena.
- 11 Februari - Nelson Mandela anaachishwa gerezani baada ya kukaa miaka 27 jela.
- 23 Agosti - Nchi ya Armenia inatangaza uhuru wake kutoka Umoja wa Kisovyeti.
Waliozaliwa hariri
Kalenda ya Gregori | 2024 MMXXIV |
Kalenda ya Kiyahudi | 5784 – 5785 |
Ab urbe condita (Roma ya Kale) | 2777 |
Kalenda ya Ethiopia | 2016 – 2017 |
Kalenda ya Kiarmenia | 1473 ԹՎ ՌՆՀԳ |
Kalenda ya Kiislamu | 1446 – 1447 |
Kalenda ya Kiajemi | 1402 – 1403 |
Kalenda za Kihindu | |
- Vikram Samvat | 2079 – 2080 |
- Shaka Samvat | 1946 – 1947 |
- Kali Yuga | 5125 – 5126 |
Kalenda ya Kichina | 4720 – 4721 癸卯 – 甲辰 |
- 12 Januari - Andrey Marcel Ferreira Countinho, mchezaji wa mpira kutoka Brazil
- 3 Februari - Sean Kingston, mwanamuziki kutoka Jamaika
- 10 Februari - Sooyoung, mwigizaji wa filamu na mwanamuziki kutoka Korea Kusini
- 14 Machi - Zakaria Kibona, mchezaji wa mpira kutoka Tanzania
- 5 Aprili - Rhianna Ryan, mwigizaji wa filamu kutoka Marekani
- 15 Aprili - Emma Watson
- 23 Julai - Gracie Carvalho, mwanamitindo kutoka Brazil
- 12 Agosti - Mario Balotelli, mchezaji mpira kutoka Italia
- 16 Agosti - Deo Munishi, mcheza mpira wa Tanzania
- 28 Septemba - Kirsten Prout, mwigizaji wa filamu kutoka Kanada
- 29 Oktoba - Amarna Miller
- 28 Desemba - David Archuleta, mwanamuziki kutoka Marekani
bila tarehe
- April Jackson, mwanamitindo kutoka Jamaika
Waliofariki hariri
- 6 Januari - Pavel Cherenkov, mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fizikia mwaka wa 1958
- 27 Februari - Josephine Johnson, mwandishi kutoka Marekani
- 22 Juni - Ilya Frank, mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fizikia mwaka wa 1958
- 31 Julai - Fernando Sancho, mwigizaji filamu kutoka Hispania
- 30 Septemba - Patrick White, mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fasihi, mwaka wa 1973
- 16 Oktoba - Art Blakey, mwanamuziki kutoka Marekani
- 22 Oktoba - Louis Althusser, mwanafalsafa wa Ufaransa
- 17 Novemba - Robert Hofstadter, mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fizikia mwaka wa 1961
Viungo vya nje hariri
Wikimedia Commons ina media kuhusu:
🔥 Top keywords: Maalum:TafutaMwanzoMaalum:MabadalikoyaKaribuniKimbungaMustafa MkuloUfahamu wa uwezo wa kushika mimbaMikoa ya TanzaniaSikioOrodha ya makabila ya TanzaniaOrodha ya mikoa ya Tanzania kwa eneoTanzaniaShairiKumaMaumivu ya kiunoUbongoMofimuDiamond PlatnumzNembo ya TanzaniaAmri KumiOrodha ya Mawaziri Wakuu wa TanzaniaMfumo wa mmeng'enyo wa chakulaKamusi za KiswahiliMafurikoKiswahiliFasihi simuliziVitendawiliVita Kuu ya Pili ya DuniaChristina ShushoJumuiya ya Afrika MasharikiWanawake katika uchakataji pombeSentensiAina za manenoDuniaKigezo:Vyeo vya kijeshi TanzaniaUprotestantiUpendoTanganyikaIrene PaulOrodha ya Watakatifu Wakristo