Élie Ducommun
Élie Ducommun (19 Februari, 1833 – 7 Desemba, 1906) alikuwa mwandishi na mhariri kutoka nchi ya Uswisi. Nje ya kazi yake katika kampuni ya treni, alijitahidi kwa ajili ya amani. Mwaka wa 1902, pamoja na Charles-Albert Gobat alikuwa mshindi wa Tuzo ya Nobel kwa Amani.
Makala hii kuhusu mtu huyo bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Élie Ducommun kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake? Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. |
🔥 Top keywords: Maalum:TafutaMwanzoUfahamu wa uwezo wa kushika mimbaOrodha ya mikoa ya Tanzania kwa eneoOrodha ya makabila ya TanzaniaJamii:RomaniaZuhura YunusMafurikoShairiMikoa ya TanzaniaInsha ya wasifuDiamond PlatnumzHifadhi ya mazingiraKumaKenyaTanzaniaMaumivu ya kiunoHaki za watotoMadawa ya kulevyaAmri KumiKamusi za KiswahiliTendo la ndoaMazingiraUkimwiMisemoAina za manenoOrodha ya Mawaziri Wakuu wa TanzaniaSimba S.C.Orodha ya vitabu vya BibliaNahauMaalum:MabadalikoyaKaribuniMapenziTungo kiraiVivumishiVita Kuu ya Pili ya DuniaOrodha ya Magavana wa TanganyikaFasihi simuliziSilabiUandishi wa insha