Volta (mto)
(Elekezwa kutoka Volta)
Volta ni mto muhimu wa Afrika ya Magharibi. Inaanza katika maungano ya matawimto yake ya Muhun (Volta nyeusi), Nazinon (Volta nyekundu) na Nakambe (Volta nyeupe) karibu na mji wa Salaga, Ghana.
Chanzo | maungano ya mito ya Muhun, Nazinon na Nakambe karibu na mji wa Salaga (Ghana) |
Mdomo | Bahari ya Atlantiki |
Nchi | Ghana |
Urefu | 2,574 km pamoja na tawimto wa Muhun (Volta Nyeusi) |
Kimo cha chanzo | 180 m kwenye maungano ya mito |
Katika Ghana boma la lambo la Akosombo (Ghana) limesababisha kutokea kwa ziwa Volta ambalo ni lambo kubwa kabisa duniani. Baada ya kuondoka katika ziwa hilo lisilo asilia Volta inaingia katika Ghuba ya Guinea ya bahari Atlantiki.
Tazama pia hariri
Makala hii kuhusu maeneo ya Afrika bado ni mbegu. Je unajua kitu kuhusu Volta (mto) kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni? Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. |
🔥 Top keywords: Maalum:TafutaMwanzoLeonard MbotelaUfahamu wa uwezo wa kushika mimbaKimbungaOrodha ya mikoa ya Tanzania kwa eneoMikoa ya TanzaniaOrodha ya makabila ya TanzaniaTanzaniaKumaNembo ya TanzaniaShairiMustafa MkuloAmri KumiFasihi simuliziKiswahiliAina za manenoVita Kuu ya Pili ya DuniaMtaalaMaalum:MabadalikoyaKaribuniMaumivu ya kiunoKamusi za KiswahiliOrodha ya Mawaziri Wakuu wa TanzaniaVitendawiliOrodha ya Watakatifu WakristoUpendoChristina ShushoMafurikoHistoria ya KanisaDiamond PlatnumzJumuiya ya Afrika MasharikiOrodha ya nchi za AfrikaKamusi ya Kiswahili sanifuKinembe (anatomia)KisaweLughaFasihiTendo la ndoaKamusi