Uvukizaji
Uvukizaji (pia: mvukizo; ing. evaporation) katika fizikia ni mwendo wa kiowevu (majimaji) kugeuka gesi.
Kuna dutu kama maji zinazoanza kuvukiza kabla ya kufikia kiwango cha kuchemka. Viowevu vyote huvukiza vikifikia kiwango maalumu cha kuchemka.
Kama molekuli katika kiowevu zinapashwa moto mwendo wake unaongezeka. Zinagonganagongana na kuachana mbali zaidi hadi kuwa gesi.
Katika metorolojia uvukizaji ni hasa mwendo wa maji kuwa mvuke au gesi. Mwendo huu ni nguvu muhimu sana katika dura ya maji duniani. Maji ya baharini au unyevu nchini vinapashwa moto hasa na mionzi ya jua hadi kuwa mvuke unaopanda juu kuunda mawingu.
Makala hii kuhusu mambo ya sayansi bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Uvukizaji kama historia yake au mahusiano yake na mada nyingine? Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. |
🔥 Top keywords: Maalum:TafutaMwanzoUfahamu wa uwezo wa kushika mimbaOrodha ya mikoa ya Tanzania kwa eneoAina za manenoKumaShairiKamusi za KiswahiliDiamond PlatnumzMaumivu ya kiunoInsha ya wasifuSimba S.C.Fasihi simuliziIdd el HajjTanzaniaOrodha ya Watakatifu WakristoHifadhi ya mazingiraMikoa ya TanzaniaMaalum:MabadalikoyaKaribuniKisaweNembo ya TanzaniaMapenziJohn Raphael BoccoMapenzi ya jinsia mojaTendo la ndoaVivumishiUandishi wa ripotiOrodha ya Mawaziri Wakuu wa TanzaniaMazingiraMpira wa miguuMshororoVitendawiliOrodha ya makabila ya TanzaniaMadawa ya kulevyaMasoud KipanyaKiswahiliNahauMofimuVita Kuu ya Pili ya Dunia