Mikoa ya Kodivaa
(Elekezwa kutoka Mikoa ya Cote d'Ivoire)
Mikoa ya Kodivaa (Kifaransa: Régions de Côte d’Ivoire) ni ngazi ya pili ya ugatuzi nchini Kodivaa. Nchi imegawanywa katika wilaya 14 ambazo ni ngazi ya kwanza ya ugatuzi. Wilaya mbili ni miji iliyoandaliwa kama wilaya huru na wilaya 12 za kawaida zinagawanyika katika mikoa 31.
Mikoa na wilaya zisizo huru, imegawanywa katika tarafa 108 ambazo ni ngazi ya tatu ya ugatuzi.
Mikoa hariri
Kwa sasa kuna mikoa 31. Majina na mwaka wa uundaji wake, ni kama ifuatavyo:
- Agnéby-Tiassa (2011)
- Bafing (2000)
- Bagoué (2011)
- Bélier (2011)
- Béré (2011)
- Bounkani (2011)
- Cavally (2011)
- Folon (2011)
- Gbêkê (2011)
- Gbôklé (2011)
- Gôh (2011)
- Gontougo (2011)
- Grands-Ponts (2011)
- Guémon (2011)
- Hambol (2011)
- Haut-Sassandra (1997)
- Iffou (2011)
- Indénié-Djuablin (2011)
- Kabadougou (2011)
- La Mé (2011)
- Lôh-Djiboua (2011)
- Marahoué (1997)
- Moronou (2012)
- Nawa (2011)
- N'Zi (2011)
- Poro (2011)
- San-Pédro (2011)
- Sud-Comoé (1997)
- Tchologo (2011)
- Tonkpi (2011)
- Worodougou (1997)
- A. Jimbo huru la Abidjan (2011) (Si mkoa wala kugawanywa katika mikoa)
- B. Jimbo huru la Yamoussoukro (2011) (Si mkoa wala kugawanywa katika mikoa)
Mikoa kabla ya 2011 hariri
Kabla ya mwaka 2011, Cote d'Ivoire iligawanyika katika mikoa 19 (miji mikuu imewekwa kwenye mabano):
|
Mikoa hiyo yote iligawanyika tena kwenye wilaya takriban 90.
Tazama pia hariri
🔥 Top keywords: Maalum:TafutaMwanzoUfahamu wa uwezo wa kushika mimbaZuhura YunusShairiKamusi za KiswahiliNikki wa PiliMshororoNahauTanzaniaAina za manenoOrodha ya mikoa ya Tanzania kwa eneoOrodha ya makabila ya TanzaniaNembo ya TanzaniaMikoa ya TanzaniaFasihi simuliziJumuiya ya Afrika MasharikiNominoDiamond PlatnumzTamthiliaSentensiKumaOrodha ya Vyuo Vikuu vya TanzaniaNgeliKalenda ya KiislamuKisaweUandishi wa inshaFasihiVivumishiMaumivu ya kiunoMisemoInsha ya wasifuAlama ya uakifishajiMfumo wa mmeng'enyo wa chakulaMapenzi ya jinsia mojaVitendawiliMadawa ya kulevyaVitenzi vishirikishi vikamilifuKamusi