Max Theiler
Daktari wa virusi na daktari wa Afrika Kusini-Amerika
'
Max Theiler | |
---|---|
Max Theiler | |
Amezaliwa | 30 Januari 1899 |
Amefariki | 11 Agosti 1972 |
Kazi yake | mwanabiolojia kutoka nchi ya Afrika Kusini |
Max Theiler (30 Januari 1899 – 11 Agosti 1972) alikuwa mwanabiolojia kutoka nchi ya Afrika Kusini. Baadaye alihamia na kupata uraia wa Marekani. Hasa alichunguza virusi visababishavyo maradhi mbalimbali. Pia aligundua dawa ya chanjo dhidi ya homa ya manjano. Mwaka wa 1951 alikuwa mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Tiba.
Makala hii kuhusu mwanasayansi fulani bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Max Theiler kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake? Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. |
🔥 Top keywords: Maalum:TafutaMwanzoUfahamu wa uwezo wa kushika mimbaMikoa ya TanzaniaOrodha ya mikoa ya Tanzania kwa eneoKumaLigi ya Mabingwa UlayaNahauTanzaniaDiamond PlatnumzKamusi za KiswahiliUwanja wa WembleyOrodha ya makabila ya TanzaniaVirusi vya CoronaMaumivu ya kiunoKiswahiliAmri KumiSimba S.C.Orodha ya Watakatifu WakristoOrodha ya Vyuo Vikuu vya TanzaniaUtandawaziOrodha ya mikoa ya Tanzania na Pato la TaifaYoung Africans S.C.Nembo ya TanzaniaOrodha ya milima mirefu dunianiMpira wa miguuStephane Aziz KiFasihi simuliziVita Kuu ya Pili ya DuniaMapenzi ya jinsia mojaMisemoShairiHistoria ya KanisaHifadhi ya mazingiraMaalum:MabadalikoyaKaribuniAina za manenoZuchuEverest (mlima)Lugha