Karne ya 5 KK
karne
Lango la Historia | Lango la Biografia | Karibuni | Orodha ya Miaka
◄ |Milenia ya 2 KK |Milenia ya 1 KK |Milenia ya 1 |►
◄ |Karne ya 7 KK |Karne ya 6 KK |Karne ya 5 KK |Karne ya 4 KK |Karne ya 3 KK |►
Karne ya 5 KK (= kabla ya Kristo) ni kipindi cha miaka mia kuanzia tarehe 1 Januari 500 KK na kuishia tarehe 31 Desemba 401 KK.
Matukio hariri
Karne V KK inahesabiwa na wengi kuwa muhimu sana katika historia ambapo waliishi wanafalsafa mbalimbali na waanzilishi wa dini kubwa
- 492 KK: Mfalme Dario I wa Uajemi anashambulia Ugiriki kwa mara ya kwanza.
- 490 KK: Dario I anashindwa na Wagiriki katika Mapigano ya Marathon. Fidipide anakimbia kilometa 42 hadi Athens ili kutangaza ushindi, halafu anakufa kwa uchovu: ndiyo asili ya mbio ya Marathon.
- 487 KK: Misri inaasi utawala wa Waajemi.
- 480 KK (23 Septemba): Ushindi mwingine wa Wagiriki dhidi ya Waajemi huko Salamis.
- 479 KK: Ushindi wa moja kwa moja wa Wagiriki dhidi ya Waajemi huko Platea.
- 471 KK: Themistokle anafukuzwa kutoka Athens.
- 459 KK: Kuhani Ezra anaongoza Wayahudi wengine warudi kutoka Mesopotamia hadi Yerusalemu.
- 447 KK: Athens inaanza ujenzi wa Parthenoni kwa himizo la Perikle.
- 439 KK: Cincinnatus anakuwa dikteta wa Roma.
Watu muhimu hariri
Viungo vya nje hariri
Wikimedia Commons ina media kuhusu:
Makala hii kuhusu mambo ya kihistoria bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Karne ya 5 KK kama enzi zake au matokeo yake? Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. |
🔥 Top keywords: Maalum:TafutaMwanzoShairiJumuiya ya Afrika MasharikiUfahamu wa uwezo wa kushika mimbaFasihi simuliziNembo ya TanzaniaMshororoMikoa ya TanzaniaVivumishiOrodha ya mikoa ya Tanzania kwa eneoPentekosteAina za manenoTanzaniaKamusi za KiswahiliMfumo wa mmeng'enyo wa chakulaOrodha ya makabila ya TanzaniaAfrika Mashariki 1800-1845Orodha ya Mawaziri Wakuu wa TanzaniaUpendo Furaha PenezaMafurikoMisimu (lugha)KumaKisaweSentensiDiamond PlatnumzKamusi ya Kiswahili sanifuKamusiMisemoMaudhuiSimba S.C.Ukwapi na utaoTanganyikaOrodha ya Watakatifu WakristoNgeliLahaja za KiswahiliMaumivu ya kiunoRoho MtakatifuNomino