John Kendrew
John Cowdery Kendrew (24 Machi 1917 – 23 Agosti 1997) alikuwa mwanakemia kutoka nchi ya Uingereza. Hasa alichunguza mfumo wa protini mbalimbali. Mwaka wa 1962, pamoja na Max Perutz alikuwa mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Kemia. Mwaka wa 1974 alipewa cheo cha "Sir".
Makala hii kuhusu mwanasayansi fulani bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu John Kendrew kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake? Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. |
🔥 Top keywords: Maalum:TafutaMwanzoUfahamu wa uwezo wa kushika mimbaShairiAina za manenoVivumishiOrodha ya mikoa ya Tanzania kwa eneoMikoa ya TanzaniaSentensiKamusi za KiswahiliNembo ya TanzaniaNahauFasihi simuliziTanzaniaMshororoOrodha ya makabila ya TanzaniaKaswendeKisaweUandishi wa ripotiJumuiya ya Afrika MasharikiUkimwiMaalum:MabadalikoyaKaribuniKumaInsha ya wasifuAlama ya uakifishajiUsafi wa mazingiraVitenzi vishirikishi vikamilifuNominoFasihiZuhura YunusUzazi wa mpango kwa njia asiliaNgeliVitendawiliVieleziOrodha ya Vyuo Vikuu vya TanzaniaTarakilishiMaumivu ya kiunoOrodha ya Mawaziri Wakuu wa TanzaniaTamthilia