Glakoma
Glakoma (kwa Kiingereza: glaucoma) ni ugonjwa unaosababishwa na uharibifu wa jicho.
Ugonjwa huu husababishwa na shinikizo linaloongezeka katika jicho. Shinikizo hilo husababisha uharibifu wa mishipa ya optic (optic nerves) katika jicho. Hii inaweza kusababisha upofu na maumivu makali katika jicho.
Wakati mwingine ni vigumu kwa watu kugundua kuwa wana glakoma, maono yanapotea polepole sana. Maono yakipotea kwa sababu ya glakoma haiwezekani kurudishwa hata kwa kutumia miwani ya lenzi yoyote.
Kuna aina mbili za glakoma, aina ambayo hutokea haraka sana, na aina ambayo hutokea polepole na kwa muda mrefu. Glakoma ndiyo sababu ya pili ya upofu ulimwenguni. Mara nyingi glakoma ni ugonjwa wa kurithi kutoka kwa wazazi.
Makala hii kuhusu mambo ya tiba bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Glakoma kama sababu yake au mahusiano yake na mada nyingine? Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. |
🔥 Top keywords: Maalum:TafutaMwanzoUfahamu wa uwezo wa kushika mimbaSiku ya Mtoto wa AfrikaNikki wa PiliShairiSiku ya ArafahNembo ya TanzaniaKumaMikoa ya TanzaniaTanzaniaOrodha ya makabila ya TanzaniaOrodha ya mikoa ya Tanzania kwa eneoKamusi za KiswahiliMshororoJumuiya ya Afrika MasharikiOrodha ya Mawaziri Wakuu wa TanzaniaMaalum:MabadalikoyaKaribuniSimba S.C.Zuhura YunusUandishi wa ripotiSentensiFasihi simuliziMaumivu ya kiunoKanisa la Kiinjili la Kilutheri TanzaniaBaraAina za manenoOrodha ya nchi za AfrikaKalenda ya KiislamuOrodha ya Vyuo Vikuu vya TanzaniaJohn MagufuliMfumo wa mmeng'enyo wa chakulaTendo la ndoaHistoria ya KanisaOrodha ya Watakatifu WakristoOrodha ya mikoa ya Tanzania na Pato la TaifaMbooVivumishiDiamond Platnumz