Don
Don ni mto muhimu wa Urusi; una urefu wa kilometa 1,870.
Chanzo chake kipo kwenye mji wa Novomoskovsk upande wa kusini mashariki wa Moskva.
Unaendelea kati ya mito Dnepr na Volga hadi kuishia katika Bahari ya Azov ambayo ni sehemu ya Bahari Nyeusi.
Tazama pia hariri
Makala hii kuhusu maeneo ya Urusi bado ni mbegu. Je unajua kitu kuhusu Don kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni? Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. |
🔥 Top keywords: Maalum:TafutaMwanzoPentekosteUfahamu wa uwezo wa kushika mimbaRoho MtakatifuVipaji vya Roho MtakatifuOrodha ya mikoa ya Tanzania kwa eneoMikoa ya TanzaniaShinikizo la juu la damuNembo ya TanzaniaOrodha ya makabila ya TanzaniaTanzaniaAina za manenoJumuiya ya Afrika MasharikiKamusi za KiswahiliShairiTendo la ndoaKumaOrodha ya Watakatifu WakristoMafurikoMaumivu ya kiunoDiamond PlatnumzVivumishiMapenziAmri KumiHistoria ya KanisaOrodha ya nchi za AfrikaOrodha ya Mawaziri Wakuu wa TanzaniaMfumo wa mmeng'enyo wa chakulaMapenzi ya jinsia mojaMisemoMpira wa miguuMshororoUzazi wa mpango kwa njia asiliaVita Kuu ya Pili ya DuniaTanganyikaMbooMaalum:MabadalikoyaKaribuniVirusi vya Corona