Daemusin wa Goguryeo
Mfalme Daemusin wa Goguryeo (4-44, r. 18-44) alikuwa mtawala wa tatu wa taifa la Goguryeo, huko mbali kabisa kuelekea maeneo ya kaskazini mwa Falme Tatu za Korea. Mfalme Daemusin aliiongoza Goguryeo ya awali kupitia kipindi cha upanuzi mkubwa wa maeneo, na kuweza kushinda kuchukua vinchi vidogodogo vingi tu na ufalme wenye nguvu wa Dongbuyeo.
Ufalme wa Korea Goguryeo |
---|
|
Marejeo hariri
Tazama pia hariri
Makala hii kuhusu mtu huyo bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Daemusin wa Goguryeo kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake? Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. |
🔥 Top keywords: Maalum:TafutaMwanzoUfahamu wa uwezo wa kushika mimbaShairiAina za manenoVivumishiOrodha ya mikoa ya Tanzania kwa eneoMikoa ya TanzaniaSentensiKamusi za KiswahiliNembo ya TanzaniaNahauFasihi simuliziTanzaniaMshororoOrodha ya makabila ya TanzaniaKaswendeKisaweUandishi wa ripotiJumuiya ya Afrika MasharikiUkimwiMaalum:MabadalikoyaKaribuniKumaInsha ya wasifuAlama ya uakifishajiUsafi wa mazingiraVitenzi vishirikishi vikamilifuNominoFasihiZuhura YunusUzazi wa mpango kwa njia asiliaNgeliVitendawiliVieleziOrodha ya Vyuo Vikuu vya TanzaniaTarakilishiMaumivu ya kiunoOrodha ya Mawaziri Wakuu wa TanzaniaTamthilia