Bamba la Australia
Bamba la Australia ni moja kati ya mabamba ya gandunia makubwa kwenye ganda la dunia. Wakati mwingine linahesabiwa pamoja na bamba la Uhindi kama "bamba la Australia-Uhindi".
![](http://upload.wikimedia.org/wikipedia/sw/thumb/2/29/Mabamba_ya_gandunia_II.png/250px-Mabamba_ya_gandunia_II.png)
Linabeba bara la Australia, kisiwa cha Guinea Mpya na sehemu za New Zealand, upande wa mashariki wa Bahari Hindi na sehemu ya Bahari Pasifiki.
Bamba la Australia limepakana na bamba la Ulaya-Asia, Bamba la Ufilipino, Bamba la Pasifiki, bamba la Antaktika na bamba la Afrika.
🔥 Top keywords: Maalum:TafutaMwanzoUfahamu wa uwezo wa kushika mimbaOrodha ya mikoa ya Tanzania kwa eneoAina za manenoKumaShairiKamusi za KiswahiliDiamond PlatnumzMaumivu ya kiunoInsha ya wasifuSimba S.C.Fasihi simuliziIdd el HajjTanzaniaOrodha ya Watakatifu WakristoHifadhi ya mazingiraMikoa ya TanzaniaMaalum:MabadalikoyaKaribuniKisaweNembo ya TanzaniaMapenziJohn Raphael BoccoMapenzi ya jinsia mojaTendo la ndoaVivumishiUandishi wa ripotiOrodha ya Mawaziri Wakuu wa TanzaniaMazingiraMpira wa miguuMshororoVitendawiliOrodha ya makabila ya TanzaniaMadawa ya kulevyaMasoud KipanyaKiswahiliNahauMofimuVita Kuu ya Pili ya Dunia