1889
mwaka
Lango la Historia | Lango la Biografia | Karibuni | Orodha ya Miaka
◄ |Karne ya 18 |Karne ya 19| Karne ya 20| ►
◄ |Miaka ya 1850 |Miaka ya 1860 |Miaka ya 1870 |Miaka ya 1880| Miaka ya 1890| Miaka ya 1900| Miaka ya 1910| ►
◄◄ |◄ |1885 |1886 |1887 |1888 |1889| 1890| 1891| 1892| 1893| ►| ►►
Makala hii inahusu mwaka 1889 BK (Baada ya Kristo).
Matukio hariri
- 6 Oktoba - Kilele cha Kilimanjaro kimefikiwa mara ya kwanza.
- 15 Novemba Brazil inatangazwa kuwa jamhuri; utawala wa kifalme wa Kaisari unakwisha
Waliozaliwa hariri
Kalenda ya Gregori | 2024 MMXXIV |
Kalenda ya Kiyahudi | 5784 – 5785 |
Ab urbe condita (Roma ya Kale) | 2777 |
Kalenda ya Ethiopia | 2016 – 2017 |
Kalenda ya Kiarmenia | 1473 ԹՎ ՌՆՀԳ |
Kalenda ya Kiislamu | 1446 – 1447 |
Kalenda ya Kiajemi | 1402 – 1403 |
Kalenda za Kihindu | |
- Vikram Samvat | 2079 – 2080 |
- Shaka Samvat | 1946 – 1947 |
- Kali Yuga | 5125 – 5126 |
Kalenda ya Kichina | 4720 – 4721 癸卯 – 甲辰 |
- 29 Machi - Howard Lindsay, mwandishi kutoka Marekani
- 6 Aprili - Gabriela Mistral (mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fasihi, mwaka wa 1945)
- 16 Aprili - Charlie Chaplin, mwigizaji filamu kutoka Uingereza
- 16 Aprili - Ludwig Wittgenstein, mwanafalsafa kutoka Austria
- 20 Aprili - Adolf Hitler, dikteta wa Ujerumani miaka ya 1933-45
- 21 Aprili - Paul Karrer, mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Kemia mwaka wa 1937
- 5 Agosti - Conrad Aiken, mwandishi kutoka Marekani
- 1 Novemba - Philip Noel-Baker, mwanasiasa wa Uingereza na mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Amani mwaka wa 1959
- 30 Novemba - Edgar Adrian (mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Tiba, mwaka wa 1932)
Waliofariki hariri
- 10 Machi - Yohannes IV, Mfalme Mkuu wa Uhabeshi
- 16 Desemba - Abushiri ibn Salim al-Harthi, Mtanzania aliyeongoza upinzani dhidi ya ukoloni wa Ujerumani
- 15 Aprili - Mtakatifu Damiano wa Molokai, padri, mtawa na mmisionari kutoka Ubelgiji
Wikimedia Commons ina media kuhusu:
🔥 Top keywords: Maalum:TafutaMwanzoKimbungaUfahamu wa uwezo wa kushika mimbaFasihi simuliziAina za manenoNembo ya TanzaniaShairiOrodha ya mikoa ya Tanzania kwa eneoOrodha ya Mawaziri Wakuu wa TanzaniaVivumishiMikoa ya TanzaniaTanzaniaMfumo wa mmeng'enyo wa chakulaKamusi za KiswahiliJumuiya ya Afrika MasharikiOrodha ya makabila ya TanzaniaKumaKiswahiliSimba S.C.Diamond PlatnumzKamusiMofimuKamusi ya Kiswahili sanifuTufaniTanganyikaMaumivu ya kiunoNominoLughaMwenge wa UhuruChristina ShushoSentensiSilabiVieleziMapenziMshororoVitendawiliOrodha ya Marais wa UgandaMafuriko